Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Simba waifuata AS Vita nchini Congo DR, Mkude hayupo tayari anahitaji muda
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Simba waifuata AS Vita nchini Congo DR, Mkude hayupo tayari anahitaji muda
SportsTop Stories

Simba waifuata AS Vita nchini Congo DR, Mkude hayupo tayari anahitaji muda

February 9, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Kikosi cha Simba SC kimeondoka leo nchini kuelekea Congo DR kuanza safari yake ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Ijumaa ya February 12.

Kuelekea mchezo huo Kocha wa Simba SC Didier Gomes aliongea na Waandishi wa Habari akiwa Airport jijini Dar es Salaam na kuulizwa vipi amemuonaje kiungo wake Jonas Mkude mara baada ya mazoezi ya siku kadhaa.

”Tunaenda Congo tukiwa na mipango kama sio kushinda basi kuondoka na walau kitu fulani, Mkude alicheza mchezo wa kirafiki jana dhidi ya U-20 (Simba B) alicheza kipindi kimoja na alikuwa vizuri lakini anahitaji muda zaidi sababu physical hayupo tayari”>>> Gomes

Simba SC wapo Kundi A katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu wa 2020/21 na Timu za Al Ahly ya Misri, AS Vita ya Congo DR na El Merreikh ya Sudan.

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

TAGGED: Soka bongo, top stories
Rama Mwelondo TZA February 9, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Uwezo wa ajabu mtu mzima anaongea sauti ya kitoto “pepo hilo shindwa, wewe jini mtoto?” (+video)
Next Article PICHA: Mapokezi ya Timu ya Taifa ya Guinea ikitokea CHAN Cameroon
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?