Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Sintofahamu bei ya vifurushi Nape aagiza watoa huduma waitwe
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Sintofahamu bei ya vifurushi Nape aagiza watoa huduma waitwe
Top Stories

Sintofahamu bei ya vifurushi Nape aagiza watoa huduma waitwe

November 10, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Waziri wa Mawasiliano Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape amesema wizara yake imeiagiza Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA) kuwaita watoa huduma baada ya kutokea sintofahamu ya bei ya vifurushi.

Spika Dk Tulia Ackson amemtaka Waziri huyo kufafanua uwepo wa utata wa bei katika vifurushi akinukuu taarifa ya mteja aliyetaka kununua kiasi cha GB 1 lakini akapata MB 800, ikiwa ni pungufu ya MB 200 ya mahitaji yake ikilinganishwa na bei iliyotangazwa.

Kuhusu hilo, Nape ameliambia Bunge kuwa kila baada ya miezi mitatu, watoa huduma wanakuwa na uwezo wa kubadili gharama ya vifurushi.

Hata hivyo mabadiliko hayo hutakiwa kuonekana katika ‘menyu’ ikionesha kiwango na gharama.

Kilichotokea, kwa mujibu wa Waziri, ni kwamba mtoa huduma hakuhuisha taarifa katika bango [menyu].

Wizara imeiagiza TCRA iwaite watoa huduma juu ya suala hilo, ameongeza Waziri.

Suala la vifurushi limeibuka bungeni, Dodoma leo wakati Mbunge wa Mkalama, Francis Mtinga akichangia hoja katika mapendekezo ya Mwongozo wa maandalizi ya mpango na bajeti ya Serikali na mapendekezo ya Mpango Wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2023/24.

Mbunge huyo amehoji ikiwa sheria inaweza kutungwa ya kuwabana watoa huduma ya mawasiliano juu ya ukomo wa muda kwa vifurushi akihusisha na ‘wizi’.

Nape aliomba mwongozo kwa lengo la kutoa ufafanuzi na Spika alipompa fursa hiyo akasema: “Bando ni huduma ya ziada.”

Amesema ipo njia ya bila kununua vifurushi ambavyo havina ukomo wa muda ambavyo vinapatikana kupitia “main tariffs.”

Amesema vifurushi ni suala la kibiashara na si la kisheria  huku akisisitiza “nadhani kushutumu ni kuharibu..”

You Might Also Like

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA November 10, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Raisa Ruto atangaza nyama ya Kenya kuuzwa nchini Afrika Kusini
Next Article Ishu ya Mabando ya simu laibuka tena Bungeni lazua Mjadala
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?