IGP Simon Sirro akizungumza na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Kelema wilaya ya Chemba mkoani Dodoma wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Arusha alilazimika kusimama na kuzungumza na wananchi hao kufuatia kitendo chao cha kufunga barabara kuu ya Dodoma, Babati kwa kuweka mawe barabarani na kusababisha usumbufu kwa watumiaji wengine.
“Sitaki ujinga, wahuni mtajua sitaki uanaharamu” IGP sirro awa mbogo (+video)
Leave a comment
Leave a comment