Zaidi ya Vibanda 300 vilivyokua vinatumiwa na Wafanyabiashara katika soko la Mbuyuni Moshi mkoani Kilimanjaro vimeteketea kwa moto ambapo Mwenyekiti wa Soko hilo amesema japo sio soko lote limeungua lakini hasara iliyopatikana ni kubwa.
Soko la Mbuyuni Moshi lateketea, vibanda 150 vimeungua moto (video+)
Leave a comment
Leave a comment