Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baada ya Soundcity kujibu kwa nini hawapigi Video za P Square, Manager wao nae kawaandikia haya…
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Baada ya Soundcity kujibu kwa nini hawapigi Video za P Square, Manager wao nae kawaandikia haya…
Habari za Mastaa

Baada ya Soundcity kujibu kwa nini hawapigi Video za P Square, Manager wao nae kawaandikia haya…

September 11, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

Ni siku ya pili toka mgogoro wa P Square na kituo kikubwa cha burudani nchini Nigeria Soundcity TV uwekwe hadharani…

Stori ilianzia pale ambapo Television ya Soundcity TV waliamua kusitisha kuzipiga nyimbo za P Square January 2015 baada ya kutokea kutokuwa na maelewano kati yao mwisho wa mwaka 2014… kauli ambayo hawakuipenda ni ya kaka na Manager wa kundi la P Square, Jude Okoye kusema kuwa Soundcity TV “haijawahi kuwafanyia kitu P Square” wakati Soundcity wanadai wao ndio waliokuwa mstari wa mbele kuwapa support yao kwa kipindi cha miaka 10.

Drama bado zinaendelea kati ya P Square na Soundcity TV... baada ya Soundcity kutoa tamko la kwanini nyimbo za P Square hazipigwi kwenye kituo hicho, kaka na manager wa P Square, Jude Okoye ameonekana kukerwa pia na kile walichokisema Soundcity TV, akaingia kwenye ukurasa wake @Twitter na kuwajibu Soundcity.

jude
Manager wa P Square, Jude Okoye.

>>> “@SOUNDCITYtv nyie mnatengeneza pesa kwa kupiga videos za wasanii kwenye kituo chenu, zinawaingizia mamilioni ya pesa, lakini kwenye hayo mamilioni mnayoingiza wasanii hawapati mgao wao, sisi (wasanii na lebo za muziki) hatulalamiki… na mnasema mnatusaidia, msaada upi mnaotupa? Kazi yangu ni kutengeneza videos kazi yenu @SOUNDCITYtv ni kuzicheza… vituo vingine vyenye sifa nzuri havina tatizo kuwalipa wasanii kwenye events zao… mnaweza mkaendelea kuwaonea wasanii wengine lakini sio P Square…” <<< @Judeengees.

Hizi ni baadhi ya tweets za Jude Okoye nilizofanikiwa kuzinasa kupitia page yake ya Twitter…

SOUNDCITY1

SOUNDCITY2

SOUNDCITY3

SOUNDCITY4

PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo, maisha, Breaking news na nyingine kwa kujiunga hapa na mimi >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo September 11, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mama wa Ray C kuhusu mwanae, Barakah Da’ Prince kwenye ugomvi wa Edo Boy na Young Killer? Jux Je?..#255
Next Article Baada ya uhamisho kwenda Madrid kukwama, De Gea amethibitisha kufanya uamuzi huu…
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?