Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Zawadi za TV na fridge zinaendelea kumiminika kwa wateja wa Infinix
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Miji/Nchi > Zawadi za TV na fridge zinaendelea kumiminika kwa wateja wa Infinix
Miji/Nchi

Zawadi za TV na fridge zinaendelea kumiminika kwa wateja wa Infinix

December 22, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Hapo jana Washindi wa Lucky Droo ya kwanza iliyofanyika mubashara kupitia ukurasa wa Instagram @infinixmobiletz ambao ni Judithi, Iddy na Omary walikabidhiwa zawadi zao rasmi.

Mshindi wa TV 65″ Bi Grace alikuwa na haya yakusema baada ya kukabidhiwa zawadi hiyo,

“Nimefurahi sana kwakweli maana nilipopigiwa simu kuwa nimeshinda nikajua ni matapeli ila nikawasiliana na @Infinixmobiletz kwenye ukurasa wao wa Instagram nikahakikishiwa kuwa ni kweli, Japo kuna namna nilikuwa siamini bado mpaka leo nilipokabidhiwa Friji langu, Nimefurahi sana kwakweli na ni mtumiaji mzuri wa simu zaInfinix na sasa natumia Infinix NOTE 12 VIP ni simu nzuriinadumu na chaji kwa muda mrefu pia inajaa chaji kwa dakika17 tu kufikia asilimia 100%’’.

Wakati wa uchezeshaji wa Droo hiyo Afisa Mahusiano InfinixB wana Eric Mkomoye amewataka Watanzania wote na wateja wa Infinix kufika katika maduka yao ya simu, Promosheni ya PIGA UTOBOE inaendelea kuwepo hadi 4/1/2023 ambapo Droo ya pili ya kuwania TV na Fridge itachezeshwa mubashara kupitia infinixmobiletz .

Washindi wameonesha kufurahia zoezi la ukabidhishwaji wa zawadi na huduma zinazotolewa na kampuni hiyo ya simu.