Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maneno ya aliyetobolewa macho na Scorpion baada ya kudaiwa kutelekeza mke
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Maneno ya aliyetobolewa macho na Scorpion baada ya kudaiwa kutelekeza mke
Mix

Maneno ya aliyetobolewa macho na Scorpion baada ya kudaiwa kutelekeza mke

July 13, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Saidi Mrisho ambaye ali-make headline siku za nyuma baada ya kutobolewa macho na mtu anayefahamika kwa jina la Salum Njwete maarufu kama ‘Scorpion’ amerudi tena kwenye headlines mara hii ikiwa ni issue nyingine akidaiwa kuitelekeza familia.

Kupitia Leo Tena ya Clouds FM leo July 13, 2017 Said anadaiwa kumtelekeza mkewe ambaye amejifungua watoto mapacha hivi karibuni huku akikiri kuachana na mke wake huyo kutokana na tofauti zilizotokea kati yao na kusisitiza kuwa hajatelekeza familia yake.

>>>”Ni kweli nimeachana na mke wangu ambaye nimefunga naye ndoa hivi karibuni baada ya kupata matatizo ila sijatelekeza familia. Hii ndoa nimefunga kutokana na shinikizo kutoka kwa wazazi wa mke wangu ili tukiachana tuweze kugawana vifaa vilivyokuja. Japokuwa tumeachana lakini nimempangia nyumba na namsaidia kwa sababu nina familia naye. Kwa sasa nimeoa mke mwingine.

“Mke wangu nimemuacha sababu ya tabia zake. Mwanzoni nikiwa naona alikuwa akinisaliti lakini hata sasa anaendelea kunisaliti. Siku moja aliniomba simu akaniambia ampigie mtu aliyemkopesha pesa Hospitali.

“Nilimpatia simu mama akatoka lakini alichelewa kurudi nikamuuliza vipi akasema alikuwa hapatikani lakini baadaye nikabonyeza button ya kupiga. Nilipopiga simu akapokea mwanaume mwingine nikamuuliza vipi akaniambia huyu ni mke wake kivipi wakati ni mke wangu mimi. 

“Mke wangu amenifanyia vitu vingi vya ajabu anapigiwa simu na wanaume na hao wanaume wananitukana. Nilimueleza baba yake akaniambia nimpe talaka au nimuoe mwanamke mwingine. Amekuwa mlevi. Anaweza hata kumuingiza mwanaume mwingine chumbani kwangu kwa sababu sioni. Kwa kweli nilishindwa kuvumilia hasa kutokana na hali yangu.” – Said.

Hata hivyo. naye mke wa Said maarufu kama Mama Dee amesema yote yaliyosemwa na Said siyo kweli kwani alimpangia nyumba sehemu nyingine na kumdanganya kisha akaenda kuoa mwanamke mwingine wakati wa Ramadhan.

>>>“Sababu anazozitoa Baba Dee ni uongo hakuna jambo lenye ukweli hata kidogo. Kinachoshangaza Saidi alitafuta nyumba nyingine tena akahamisha vitu kule kwenye nyumba ya Tabata lakini mimi alinidanganya. Nilipomuuliza Makabati yako wapi akasema yapo kwa Fundi nimeyapeleka kupakwa rangi kumbe muongo kampangisha mwanamke ambaye amemuoa mwezi wa Ramadhan.” – Mama Dee.

VIDEO: Aliyetobolewa macho alivyofika mahakamani kutoa ushahidi kesi ya Scorpion

You Might Also Like

Waagizaji, Wazalishaji chuma watakiwa kuzingatia Viwango TBS

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

“Msiangalie mtu usoni kutoa Shahada ya Uzamili, Uzamivu” Mkenda

Mwalimu akutwa amefariki chumbani kwake

Miradi 630 ya Dola Bilioni 3.68 imesajiliwa

TAGGED: Dar es salaam, Dar es salaam NEWS, TZA HABARI
Victor Kileo TZA July 13, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jeshi la Polisi limetangaza uhaba wa bangi Marekani
Next Article SAHARA MEDIA imefungiwa na TRA ikidaiwa Tsh. Bilioni 4
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?