Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Mama Nimemuona Daddy Joseph anapelekwa Jela’ Mtoto wa Sugu
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > ‘Mama Nimemuona Daddy Joseph anapelekwa Jela’ Mtoto wa Sugu
Top Stories

‘Mama Nimemuona Daddy Joseph anapelekwa Jela’ Mtoto wa Sugu

March 2, 2018
Share
3 Min Read
SHARE

Muigizaji wa Bongo movie ambaye pia ni mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya mjini Sugu, Faiza Ally ameeleza machungu yake baada ya mtoto wake kulia baada ya Baba yake kufungwa jela miezi mitano.

Siku chache zilizopita Mbunge wa Mbeya mjini kupitia tiketi ya CHADEMA Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ alihukumiwa kifungo cha miezi mitano jela baada ya kukutwa na hatia ya kutoa lugha ya fedheha dhidi Rais Magufuli.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Faiza amesema kuna baadhi ya vitu ambavyo vilimfanya akose huruma na Sugu lakini mtoto wake Sasha alimfanya ajisikie vibaya alipomhadithia kuwa kamuona Baba yake akienda jela.

“Hivyo ni baadhi ya vitu tu ambavyo vinavyo nifanya nikose huruma nae lkn jana sasha alienda dukani na dada akaja kuniambia MAMA NIME MUONA DADDY JOSEPH KWENYE GAZETI ANAPELEKWA JELA ndio nikajisikia vibaya sana,” -Faiza

“Nikahisi nimekua mtu mbaya sana na mkatili kumtakia baba Sasha matatizo nilijaribu kuongea na mwanangu na kuona kweli uchungu una badilisha watu , asili yangu sio ubaya lkn uchungu umenifanya nisijali na nifurahie lililo tokea nimeona kama ni wkt wake na yeye wa kukutwa na majanga,” -Faiza

“Nimekosa raha sana na nimeamua kuandika haya kujiridhisha lkn napigana na akili yangu na moyo akili inajua kuwa ni Natural feelings kwa binaadamu lkn moyo unakataa unasema huyu sio mimi lkn sasa naamini usemi unao sema uchungu una badilisha watu.” -Faiza

Hivyo ni baathi ya vitu tu ambavyo vinavyo nifanya nikose huruma nae lkn jana sasha alienda dukani na dada akaja kuniambia MAMA NIME MUONA DADDY JOSEPH KWENYE GAZETI ANAPELEKWA JELA ndio nikajisikia vibaya sana nikahisi nimekua mtu mmbaya sana na mkatili kumtakia baba sasha matatizo nijaribu kuongea na mwanangu na kuona kweli uchungu una badilisha watu , asili yangu sio ubaya lkn uchungu umenifanya nisijali na nifurahie lililo tokea nimeona kama ni wkt wake na yeye wa kukutwa na majanga , nimekosa raha sana na nimeamua kuandika haya kujirizisha lkn napigana na akili yangu na moyo akili inajua kuwa ni Natural feelings kwa binaadamu lkn moyo unakataa unasema huyu sio mimi lkn sasa naamini usemi unao sema uchungu una badilisha watu . KASOME STORI NZIMA KWENYE BLOG YANGU CLIK HAPO JUU ITAKUPELEKA HUKO .

A post shared by Faiza Ally 🇹🇿 (@faizaally_) on Feb 27, 2018 at 10:35pm PST

NAIBU WAZIRI ALIVYOMFUNGIA ROMA LEO NA KUMPA ONYO NAY WA MITEGO

 

You Might Also Like

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo March 2, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Naibu Waziri wa Elimu atoa onyo hili kwa walimu nchini
Next Article VideoMpya: ‘Nielewe’ Navio kamshirikisha Vanessa Mdee
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?