Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wilium Lukuvi amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigera kufanya kikao cha ujirani mwema na Mkuu wa Mkoa wa nchi jirani ya Kenya katika Kijiji cha Jasini kilichopo mpakani mwa nchi hizo mbili.
Lukuvi afika mpakani, amtembelea aliejenga mpakani mwa Kenya na Tanzania (+video)
Leave a comment
Leave a comment