Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Str8uplive kutua nchini Uganda, kupanda jukwaa moja na mkali wa Nigeria ‘Fireboy’
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Str8uplive kutua nchini Uganda, kupanda jukwaa moja na mkali wa Nigeria ‘Fireboy’
Habari za Mastaa

Str8uplive kutua nchini Uganda, kupanda jukwaa moja na mkali wa Nigeria ‘Fireboy’

April 26, 2022
Share
3 Min Read
SHARE

Najua Nina watu wangu wanaopenda burudani hususani kupitia muziki wa live sasa nina habari njema ninayotaka kukujuza ni kwamba kuna vijana wenye utashi mkubwa ambao wameungana kwa pamoja ili kuufanya muziki wa bendi kupewa heshima ndani ya nchi hata kimataifa.

Kundi hili linafahamika kama Str8uplive linaundwa na wakali akiwemo Zungu The Drummer, DJ Skadi,Bam Bass, Amo Keys, Mr. Norman, Emmz , Nuri Bedja na pia yakiwemo Taasisi za kibenki.

Miongoni mwa vitu vinavyowashangaza wengi kuhusu wakali hao ni pale wanapokuwa Jukwaani na kisha kuubadilisha wimbo wa msanii kuwa wa tofauti kwa kutumiwa kwa Vyombo vya Muziki.

Mpaka sasa Str8uplive wameziandika rekodi  mbalimbali kwa kufanya kazi na wasanii wakiwemo, Fireboy- Nigeria  , Gyakie – Ghana, Ladipoe – Nigeria , Joe Boy – Nigeria.

Sasa Mwaka 2022 wakali hao wanauanza kwa neema ambapo wanatarajiwa kwenda nchini Nigeria kwa ajili ya maandalizi yao ya pamoja na mkali Fireboy.

Akizungumza na Millardayo.com Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Str8upvibes alisema..‘Kwanza ningependa kuwashukuru Mashabiki wanaoendelea kutushika mkono hususani waliopo Dar, Moshi, Arusha , Mwanza na mikoani mingine kiukweli ni faraja iliyojaa ndani ya miyoyo yetu’- Sniper Mantana

‘Lengo la kuwepo kwa Str8uplive ni kuupa heshima muziki wa bendi na kuonesha utofauti hususani kwenye muziki wa live bendi na hata nchi yetu kupata heshima’- Sniper Mantana

Aidha Sniper Mantana akasema bendi hiyo inatarajiwa kutoa burudani Mnamo April 30 Nchini Uganda.

“Mbali na kwamba tumeshatoa burudani katika mikoa kadhaa sasa ni muda wetu wa kuwafikia watu wetu wa kimataifa ambapo Str8uplive mwaka huu 2022 Mnamo April 30 wanatarajiwa kutoa burudani ya live bendi nchini Uganda’- Sniper Mantana

‘Kitakachoenda kufanyika nchini Uganda ni kitofauti kidogo kwani Str8uplive wataungana na fireboy jukwaani kwaajili ya kutoa burudani siku ya April 30, 2022 na nina uhakika mashabiki wamejiandaa kuwapokea Str8uplive na hii itakuwa ni kwa mara ya kwanza bendi hii kutumbuiza katika nchi hiyo‘- Sniper Mantana

‘Na  chakumaliza kusema ningewaomba wadau mbalimbali wa makampuni kama unaona uhitaji wetu wa bendi msisite kuwasiliana nasi kupitia namba 0717671163 kwa maelezo zaidi tuhakikishe tunaendelea kukuza sanaa yetu ili muziki wa bendi upewe kipaumbele zaidi’- Sniper Mantana

Alikuwa ni Mkurugenzi Mtendaji wa Str8upvibes akizungumza kuhusiana na bendi yake iitwayo Struplive inayotarajiwa kutoa burudani nchini Uganda mnamo April 30, 2022 katika tamasha lililoandaliwa na kupewa jina la Fireboy live in Kampala.

WEMA BAADA YA KUMSAIDIA MAMA HUYU KAFUNGUKA “HATA NIKIFA SASA, NTAIONA PEPO”

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Sniper Mantana
Edwin TZA April 26, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Katambi “ Rais anajukumu la kutuletea maendeleo, tumuombee” (+picha)
Next Article Rais wa Mahakama ya Afrika Jaji imani Aboud akutana na Rais Uturuki Ikulu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?