Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: MSAMI KAFUNGUKA “Sikuwa na mpango na Wanawake niliokua nao”
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > MSAMI KAFUNGUKA “Sikuwa na mpango na Wanawake niliokua nao”
Top Stories

MSAMI KAFUNGUKA “Sikuwa na mpango na Wanawake niliokua nao”

August 1, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Ayo TV na millardayo.com zinaye Msami kwenye EXCLUSIVE na kaeleza mambo mengi lakini kubwa ni kuhusu kuwa kwenye mahusiano na baadhi ya mastaa wenzake ambao wengi hawakufahamu hadi pale alipoamua kufunguka.

>>>”Kwanza labda tuifanye hii iwe mara ya mwisho na leo naweza kuzungumza labda watu hawakuwahi kufahamu na mimi sijawahi kuzungumzia mambo ya mahusiano yangu. Sio mbaya watu wakizungumza kuhusu mimi juu ya uhusiano wangu.

“Wasanii wengi ambao wapo kwenye mahusiano wanakuwa kama wanaigiza mahusiano. Mimi nikiwa kwenye mahusiano na staa wa Bongo Movie basi natofautisha kati ya maisha yangu niliyokuwa nikiisha na uhusiano wangu.

“Irene Uwoya nilimtambulisha kwa ndugu zangu mpaka famili yake inanijua, pia familia yangu inamjua na sijawahi kufikiria kwamba kuna lolote litakuja kutokea. Tulikuwa hatupendelei mambo ya mitandao ya kijamii. Kimsingi nimejifunza mengi mtu akiwa na uhusiano na watu maarufu. Ningependa kutoa somo kwa wengi wasipende.

“Ni kweli nilikuwa na date na Irene Uwoya. Tumekaa takribani miaka miwili wengi walikuwa hawafahamu hilo na kuna kipindi tulikuwa kwenye mahusiano na tukaachana. Kwa hiyo, ni mtu ambae alikuwa ananipenda na mimi nampenda sana ila kuna vitu vilitokea ambavyo sio vizuri.” – Msami.

“Hakuna aliyelipwa wala Ben Pol hajanilipa” – Ebitoke kwenye Ala za Roho…play kwenye video hii kutazama!!!

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: ayotventertainment, Bongofleva, Bongomovie
Edwin TZA August 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wema Sepetu amefikishwa Mahakamani leo, kinachoendelea je?
Next Article Manara wa Simba amefunga mjadala wa Haruna Niyonzima leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?