Japan yabatilisha sheria iliyoamuru upasuaji wa kufunga uzazi kwa waliobadili jinsia
Mahakama ya Juu ya Japan siku ya Jumatano iliamua kwamba sheria inayowataka…
Majeruhi ya watoto huko Gaza ni ‘doa kwenye dhamira zetu’: UNICEF
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limelaani idadi “ya…
Uganda yasema vifo vitokanavyo na UKIMWI vyapungua kwa asilimia 70 katika miaka 12
Uganda imesema vifo vinavyosababishwa na UKIMWI nchini humo vimepungua kutoka 56,000 mwaka…
Uganda yawapa onyo Marekani kwa maneno yasiosahihi…
Uganda imekosoa tahadhari iliyotolewa na Marekani iliyodai kuwa ni hatari kufanya biashara…
Matokeo ya mwisho duru ya pili kati ya George Weah na Joseph Boakai kuchuana kuwania urais Liberia
George Weah na Joseph Boakai watachuana katika duru ya pili iliyo karibu…
Mauritania: Rais wa zamani kufungwa miaka 20 jela
Mwendesha mashtaka ameomba kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kutwaliwa mali…
Marco Silva meneja wa klabu ya Fulham
Marco Silva ametia saini mkataba mpya kama meneja wa Fulham ambao utaendelea…
Erdogan asema Hamas ‘sio shirika la kigaidi’
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Hamas sio shirika la kigaidi…
Jeshi la Israel laishutumu Iran kuhusika na mashambulizi ya hivi majuzi dhidi ya Israel
Jeshi la Israel limeishutumu Iran kwa kuamuru mashambulizi ya makundi ya wanamgambo…
Israel yataka mkuu wa Umoja wa Mataifa kujiuzulu
Balozi wa Israel katika Umoja wa Mataifa Jumanne alimtaka Katibu Mkuu Antonio…