UM: Watu 4,000 wauawa huku mamia ya maelfu wakikimbia mapigano nchini Sudan
Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amesema tangu…
Rais Xi Jinping wa China amekutana na rais wa Kenya William Ruto
Rais Xi Jinping wa China amekutana na mwenzake wa Kenya William Ruto…
Uganda yawahakikishia watalii usalama wao baada ya shambulio baya karibu na mbuga ya wanyama
Serikali ya Uganda kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori (UWA) imewahakikishia watalii…
Amapiano imeua aina ya muziki wa afrobeat – Cassper Nyovest
Msanii wa muziki wa hip-hop wa Afrika Kusini, Cassper Nyovest anasema Amapiano…
Waziri Mkuu wa Uingereza asisitiza haja ya msaada wa kibinadamu kwa Gaza wakati wa mazungumzo
Wakati wa ziara yake nchini Israel na huku kukiwa na mazungumzo na…
Shirika la misaada la kimataifa lawaunganisha watoto 7,000 na familia zao Sudan Kusini
Shirika la kimataifa la Save the Children na washirika wake wamesema kuwa,…
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Lavrov akutana na Kim Jong Un
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov amekutana na kiongozi…
Salah atoa wito wa kukomesha ‘mauaji’ huko Gaza
Mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah siku ya Jumatano alitoa wito wa kukomeshwa…
Uganda inawasaka watu wenye silaha waliowaua watalii 2 na muongozaji
Uganda inasema juhudi zilikuwa zinaendelea siku ya Jumatano kuhakikisha kwamba wahusika wa…
Hamas wawashikilia mateka watu 203: Israel
Jeshi la Israel, kwa mujibu wa gazeti la Guardian, hivi karibuni limeripoti…