Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maneno ya Babu Tale kwa DJ Choka baada ya kuweka wazi kuwa aliugua TB
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > fB insta twitter > Maneno ya Babu Tale kwa DJ Choka baada ya kuweka wazi kuwa aliugua TB
fB insta twitter

Maneno ya Babu Tale kwa DJ Choka baada ya kuweka wazi kuwa aliugua TB

June 29, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Meneja wa kundi la Tip Top Connection pamoja na mwimbaji staa wa Bongofleva Diamond Platnumz, Babu Tale ameizungumzia issue ya DJ Choka kuweka wazi kuwahi kuugua ugonjwa wa Kifua Kikuu (TB) mpaka alivyopata matibabu na kupona.

Babu Tale alitumia ukurasa wake wa Instagram kumpongeza DJ Choka kwa kuamua kuweka wazi alichokuwa anaumwa akisema ni mfano wa kuigwa kwani watu wengi wamekuwa wanaficha juu ya magonjwa yanayowakibili.

“Wahenga walisema mficha uchi hazai, wakazidi kusema mficha maradhi kifo humuumbua, kwanza kabisa nimeguswa na kufurahishwa na kitendo cha kijasiri alicho kifanya ndugu yangu @chokadj kwa kuiwekea wazi jamii nini alikwa anaumwa na kwa kudra zake Mungu akapona.

“Imekuwa ni jadi sikuhizi kwa vijana wengi alwatan kuficha maradhi yao huku wakisahau hofu na wasiwasi pia nayo ni ugonjwa, na kadri unavo zidi kuficha ndivyo kadri ugonjwa unazidi kukomaa.

“@chokadj kawa mfano mzuri kwa jamii yetu ya sasa kudhihirisha kuwa kuficha maradhi si suluhisho wa tiba ya ugonjwa wako, ni wangapi jana walikuwa wamejifungia ndani wakiugulia TB huku mioyo yao ikiamini TB haitibiki lakini baada ya @chokadj kujitokeza na kuiambia jamii ameuguwa ugonjwa huo na kupona leo wagonjwa hao hao wapo kwenye foleni hospitalini wakingojea huduma ya matibabu.

Ndugu zangu halimpati mtu jambo isipo kuwa Mungu kutaka kwan kwa hakika ni yeye pekee atupae mitihani na majibu yake akakupatia. Sasa nazidi kuaminu TB ina tibika. #AsanteChoka“ – Babu Tale.

Wahenga walisema mficha uchi hazai, wakazidi kusema mficha maradhi kifo humuumbua, kwanza kabisa nimeguswa na kufurahishwa na kitendo cha kijasiri alicho kifanya ndugu yangu @chokadj kwa kuiwekea wazi jamii nini alikwa anaumwa na kwa kudra zake Mungu akapona. Imekuwa ni jadi sikuhizi kwa vijana wengi alwatan kuficha maradhi yao huku wakisahau hofu na wasiwasi pia nayo ni ugonjwa, na kadri unavo zidi kuficha ndivyo kadri ugonjwa unazidi kukomaa. @chokadj kawa mfano mzuri kwa jamii yetu ya sasa kudhihirisha kuwa kuficha maradhi si suluhisho wa tiba ya ugonjwa wako, ni wangapi jana walikuwa wamejifungia ndani wakiugulia TB huku mioyo yao ikiamini TB haitibiki lakini baada ya @chokadj kujitokeza na kuiambia jamii ameuguwa ugonjwa huo na kupona leo wagonjwa hao hao wapo kwenye foleni hospitalini wakingojea huduma ya matibabu. Ndugu zangu halimpati mtu jambo isipo kuwa Mungu kutaka kwan kwa hakika ni yeye pekee atupae mitihani na majibu yake akakupatia. Sasa nazidi kuaminu TB ina tibika. #AsanteChoka

A post shared by Hamisi Taletale (@babutale) on Jun 29, 2017 at 2:05am PDT

You Might Also Like

PICHA 10:Kutoka kwenye Waukae Festival, Diamond, Rayvanny, Zuchu wainogesha

Babu Tale akifunguka “Natamba sina wasiwasi” Waukae Festival Morogoro (Video+)

PICHA 9: Kutana na mtoto wa Steve Nyerere aliyezaa na staa huyu wa Bongomovie

Jamaa apiga simu polisi baada ya kufuatwa na Nguruwe Marekani

‘Nimepoteza beats za nyimbo zangu zote’ – Joseph Mbilinyi ‘Sugu’

TAGGED: Babu Tale, Facebook Twitter na Insta, Tiptop Connection
Admin June 29, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wamepelekwa rumande
Next Article Mambo 7 CCM imeyazungumza mbele ya Wanahabari leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?