Ni January 13, 2023 ambapo Bondia Kareem Mandonga amezungumza na Ayo TV & Millardayo.com kuhusu pambano lake dhidi ya mpinzani wake Daniel Wanyonyi huko nchini Kenya linalotarajiwa kufanyika kesho katika ukumbi wa KICC nchini Kenya.
Tambo za Mandonga nchini Kenya aahidi Ushindi, ‘Wanyonyi nitampiga ngumi Sugunyo’

Leave a comment
Leave a comment