Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tamthilia ya The Queen Of Flow ilishinda tuzo za Emmy sasa inaanza kuonekana Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
May 30, 2023
‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba
May 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Tamthilia ya The Queen Of Flow ilishinda tuzo za Emmy sasa inaanza kuonekana Tanzania
Mix

Tamthilia ya The Queen Of Flow ilishinda tuzo za Emmy sasa inaanza kuonekana Tanzania

December 6, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Tanzania sasa inapewa fursa nyingine ya kuona tamthiliya ya The Queen Of Flow baada ya kuwa na mafanikio makubwa na kushinda tuzo mbalimbali ikiwemo tuzo za Emmy ambazo hutolewa nchini Colombia.

Tamthiliya hii mvuto wake unatajwa ni kutokana na umahiri ya waigizaji waliocheza, tamthiliya hii sehemu  kidogo inamuhusisha binti aliyekuwa mahiri katika sanaa ya muziki ambaye anasalitiwa na mpenzi wake na kumfanya aende jela, baada ya kutumikia kifungo cha miaka 17 jela binti anarejea uraiani akiwa na umri wa miaka 34.

Binti karejea uraiani na utambulisho mpya kwa lengo la kutaka kulipa kisasi kwa wale wote waliopanga njama za kutaka ahukumiwe ikiwemo aliyekuwa mpenzi wake, afisa masoko wa Star Times David Malisa amethibitisha kuwa tamthiliya hii watanzania wataiona kuanzia December 15 2019 kupitia ST Novela hii kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa.

VIDEO: Muhitimu wa Chuo Kikuu aliyebuni mashine ya kuparua na kusafisha samaki kwa sekunde 5

You Might Also Like

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

Msaada wa pikipiki kwa Polisi kulinda Watalii

TAGGED: habari daily
Rama Mwelondo TZA December 6, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article EXCLUSIVE: Aliyekuwa Mume wa Shamsa kafunguka kuvunjika kwa ndoa yao na kufulia kwake
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 7, 2019
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5
Top Stories May 30, 2023
UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.
Top Stories May 30, 2023
Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu
Top Stories May 30, 2023
Mpishi wa timu ya Arsenal Bernice Kariuki astaafu
Top Stories May 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Muda wa kusitisha mapigano nchini Sudan warefushwa kwa siku 5

May 30, 2023
Top Stories

UAE kutuma chombo cha anga kugundua dalili kuhusu asili ya maisha duniani.

May 30, 2023
Top Stories

Uganda yapitisha sheria mpya dhidi ya wizi wa viungo vya binadamu

May 30, 2023
Top Stories

‘June 2024 kila kijiji kitakuwa na Umeme’- Waziri Makamba

May 30, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?