Shirika la Umeme nchini limesema limefanikiwa kupunguza makali ya upungufu wa umeme kutoka wastani wa kati ya megawati 200 hadi 250 wiki iliyopita hadi kufikia wastani wa kati ya megawati 100 hadi 150 wiki hii.
Tanesco kupunguza makali ya mgao wa Umeme, “Matengenezo mitambo ya umeme yakamilika”
Leave a comment
Leave a comment