Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania yaiadhibu Uganda Copa Cocacola Kenya
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Tanzania yaiadhibu Uganda Copa Cocacola Kenya
Sports

Tanzania yaiadhibu Uganda Copa Cocacola Kenya

December 3, 2019
Share
2 Min Read
SHARE

Jumanne ya December 03, 2019 timu ya mpira wa miguu ya COPA Coca-Cola ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 16 imeendelea kufanya vizuri katika mashindano ya COPA Coca-Cola Afrika yanayofanyika mjini Thika nchini Kenya.

Katika mchezo wa awali wa mashindano hayo, Tanzania ilichuana na Timu ya mpira wa miguu ya Afrika Kusini na kuibuka na ushindi wa goli 3-1 na baadae kucheza mchezo wa pili dhidi ya Zambia ambapo matokeo yaliisha kwa Zambia kuibuka na ushindi wa 2-0.

Michezo hiyo ambayo ni mikubwa barani Afrika inazihusisha timu 10 za barani Afrika ikiwa ni pamoja na Kenya ambao ndio wenyeji wa michuano, Zambia, Afrika Kusini, Zimbabwe, Uganda, Ethiopia, Namibia, Angola, Botswana na Msumbiji.

Hata hivyo katika michuano ya robo fainali ya leo Tanzania imeikabili Uganda na kuibuka na ushindi wa goli 6-2. Safu ya ushambuliaji iliongozwa na wanafunzi na Paul Nyerere ambaye aliibuka nyota wa mchezo baada ya kufunga goli 3 peke yake. Wachezaji wengine ni Frank Zephania aliyefunga goli moja na Kassim Ibrahim aliyefunga goli moja.

Mashambulizi ya timu ya Tanzania yalikuwa ni yale ya kushitukiza lakini wakatumia muda mwingi kujilinda kwa mipango dhidi ya Uganda ambao wachezaji wake walionekana kuwa hatari kutokana na ushindi wa goli 11 kwa 1 dhidi ya Namibia siku ya ufunguzi wa michuano yaani 02.12.2019.

Abel Mtweve, Kocha wa Timu hiyo ya vijana wa chini ya miaka 16 kutoka Tanzania amepokea sifa kede kede kutoka kwa watazamaji kwa kuwa na mbinu nzuri za kusaka ushindi.

Kiongozi wa msafara ambaye pia ni makamu wa Rais UMISSETA, Mwalimu Vitalis Shija “Leo vijana hawa wamenishangaza kwa kuwa sikutarajia kabisa kuifunga timu ya Uganda goli 6, kwa kweli wameonyesha juhudi na kufuata maelekezo ya mwalimu.” Kama Serikali tupo pamoja na vijana kuwapa moyo kuwa wanaweza na natarajia mchezo wa kesho dhidi ya Kenya tutaibuka na ushindi na hatimaye kutinga fainali”.

You Might Also Like

Imani Kajula CEO mpya Simba SC

Winga wa Kimataifa Trossard amejiunga Arsenal

Live: Ally Kamwe akabidhiwa simu ya gharama na Rais wa Yanga Eng.Hersi

Arsenal yamsajili Trossard

Usain Bolt atapeliwa Bilioni 29, fahamu mapya yaliyoibuka

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA December 3, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Zamalek wakosa uvumilivu wamtimua Micho
Next Article Bongo Star Search kutumika kama jukwaa la kutoa elimu kuhusu UKIMWI
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?