Serikali imesisitiza kuwa, haina mpango wa kuwaondoa ama kuwasafirisha wanafunzi 420 waliopo katika jimbo la Hubei mji wa Wuhan nchini China, ambapo ndio kitovu cha maambukizi ya virusi vya Corona kwa kuwa wako katika uangalizi maalum(karantini).
Tanzania yasisitiza kutowaondoa wanafunzi waliopo Wuhan
Leave a comment
Leave a comment