Kutoka Rock City Mwanza hii ni kwa wapenda Burudani wa Kanda ya ziwa wameletewa chimbo jipya kati kati ya Jiji Club Dallas ambapo uzinduzi rasm utasimamiwa na mkali wa hints mi amore Marioo March 25, 2022.
Tazama Marioo alivyoinogesha Club Dallas, aimba na mashabiki mwanzo mwisho

Leave a comment
Leave a comment