Jumapili ya October 3, 2021, Msanii na Rais wa comedy toka nchini Kenya, Eric Omondi aliwaalika waandishi wa habari nyumbani kwake kufanya ili kuwaonyesha mjengo wake mpya mashabiki wake alioununua katika maeneo ya Karen jijini Nairobi.
Tazama nyumba mpya ya kifahari ya Eric Omondi (+video)
Leave a comment
Leave a comment