Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameagana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa na hivi ndivyo ilivyokuwa.
Tazama Rais Samia alivyopewa heshima Ikulu ya Ufaransa, aangana na mwenyeji wake (video+)
Leave a comment
Leave a comment