Ni TBT!! Throwing back thursday ambapo huwa tunaitumia hii siku kushare zile picha zetu za zamani ambapo kwenye millardayo.com kila wiki tutakua tunakuletea picha mbalimbali za mastaa wakiwa kwenye pozi miaka kadhaa iliyopita.

.Rapper Joh Makini

.Mchekeshaji Joti

.Kulia ni Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa kwenye udogo wake

.Quick Rocka

.Msanii wa Hip Hop Roma Mkatoliki kwenye udogo wake

.Shilole enzi hizo akiwa Tabora

.Vanessa Mdee kwenye udogo wake
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana naMillardAyo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa>>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE