Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Mipango ya TPDC kusambaza gesi asilia DSM na Pwani
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > VIDEO: Mipango ya TPDC kusambaza gesi asilia DSM na Pwani
Mix

VIDEO: Mipango ya TPDC kusambaza gesi asilia DSM na Pwani

April 20, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania ‘TPDC’ limeelezea kuhusu miradi mbalimbali ya usambazaji wa nishati ya gesi asilia katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Lindi, Mtwara na mikoa mingime ya Tanzania.

TPDC imesema kwa mwaka huu 2017, wamepanga kufanya upembuzi yakinifu wa mradi wa uendeshaji wa ujenzi wa mtandao wa mabomba ya kusambaza gesi asilia ndani ya jiji la Dar es Salaam ambapo Mshauri Mwelekezi wa kazi hiyo anatarajiwa kupatikana June 2017.

Ayo TV na millardayo.com imekutana na Kaimu Mkurugenzi wa TPDC Kapuulya Musomba ambaye ameelezea na kuweka wazi mipango ya Shirika hilo.

“Kuna bomba la zaidi ya Kilometa 500 kutoka Mtwara mpaka Dar es Salaam na litaendelea kuongezeka. Kwa bomba hilo kuwepo, maana yake ni kwamba, mahali popote katika Kilometa 500, unaweza ukaweka kiwanda ukapata nishati kwa ajili ya umeme.” – Kapuulya Musomba.

Bonyeza play kwenye video hapa chini…

VIDEO: Hatua iliyofikiwa na Dangote Cement na TPDC kuhusu gesi asilia. Bonyeza play kutazama.

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Muuzaji mbolea ajinyakulia pikipiki ya YARA

Dkt. Mpango akasirishwa na alieweka mikono mfukoni wakati wa Wimbo wa Taifa

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Mwili wa msimamizi wa uchaguzi wakutwa porini

TAGGED: Ayo TV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo April 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Lord Eyes ameyataja mambo matatu yanayoua makundi, likiwemo WEUSI
Next Article Almasi Mzambele ameweka wazi kilichomtoa WCB
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?