Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Tutafunga 02 Arena” P-square
Share
Notification Show More
Latest News
Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Tutafunga 02 Arena” P-square
Habari za Mastaa

“Tutafunga 02 Arena” P-square

March 9, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Nyota wa muziki nchini Nigeria ambaye anaunda kundi la P-Square, Peter Okoye, ameweka wazi kuwa kundi hilo linao uwezo wa kufanya matamasha bila kutoa kazi mpya na yakafanya vizuri.

Hayo yanajiri baada ya wakali hao kuwataka mashabiki wao waliopo nchini Uingereza, kuchagua ni mahali gani wakafanye shoo kubwa kati ya Uwanja wa O2 Arena au Uwanja wa Taifa wa Uingereza wa Wembley.

Maoni ya mashabiki wengi yameuchagua 02 Arena unaoingiza takribani watu elfu 20.

Chaguo hilo ni kutokana na mfululizo wa wasanii nchini Nigeria kufanya show zao katika uwanja huo wakiwemo Wiz Kid, Davido, Burna Boy na wengineo ambapo mashabiki wametaka wakongwe hao nao wakaoneshe uwezo wao katika uwanja huo.

“Hatuhitaji kuujaza O2 Arena, tunaenda kuufunga kabisa, iwe tumeachia kazi mpya ama hatuna kazi mpya.

Mkongwe ni mkongwe,” amesema Peter Okoye akiwajibu mashabiki ambao wana wasiwasi kama kundi hilo linaweza kuujaza ukumbi huo.

You Might Also Like

Diamond na Jux wanusurika kifo kwenye lift ya ghorofa

Str8upvibes wameungana na Everthing Dope TZ kumleta mkali wa kwenye ‘Young, Famous and African’

Meneja Chambuso afunguka kubwagana na Aslay

B Dozen amjibu Majizzo, Maulid Kitenge apigilia Msumari

Kwa mara ya kwanza Kajala afunguka sababu za kuachana na Harmonize, aibua mapya

TAGGED: habari za mastaa
Pascal Mwakyoma TZA March 9, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mahakama imekataa video ya Mke wa Bilionea Msuya
Next Article Mlipuko Homa ya manjano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
Top Stories September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
Top Stories September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.

September 30, 2023
Top Stories

Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.

September 30, 2023
Top Stories

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.

September 30, 2023
Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?