Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Stori zote kubwa nilizozinasa kutoka ndani ya Magazeti 9 ya Tanzania leo August12
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Magazeti > Stori zote kubwa nilizozinasa kutoka ndani ya Magazeti 9 ya Tanzania leo August12
MagazetiStori Kubwa

Stori zote kubwa nilizozinasa kutoka ndani ya Magazeti 9 ya Tanzania leo August12

August 12, 2015
Share
10 Min Read
SHARE

trend

 

Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote naupandishwa kwenye account yangu ya Twitter @millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa nimezikusanya zote zilizoguswa na #Tweets zangu August 12 2015, unazisoma zote kwa pamoja.

Dk. MAGUFULI aahidi laptop kwa kila Mwalimu na Mil. 50 kila Kijiji kukuza Uchumi akishinda Urais #GazetiRaiaMWEMA #AUGUST12

— millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

NGELEJA, CHEGENI wambeza LOWASSA, wasema kuhamia UKAWA hakutamsaidia kupata Urais na kuingia IKULU#GazetiRaiaMWEMA #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Serikali imeonya kuhusu matumizi mazuri ya Mitandao ili kuepusha migongano kutokana na taarifa zisizo sahihi #GazetiUHURU #AUGUST12

— millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Serikali imeonya kuhusu matumizi mazuri ya Mitandao ili kuepusha migongano kutokana na taarifa zisizo sahihi #GazetiUHURU #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Serikali imeonya kuhusu matumizi mazuri ya Mitandao ili kuepusha migongano kutokana na taarifa zisizo sahihi #GazetiUHURU #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Wagombea Ubunge wapigana vikumbo Dodoma huku wakisubiri maamuzi ya Vikao vya Kamati Kuu #GazetiUHURU #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

 

Mtu mmoja amehukumiwa Kifungo cha Miaka miwili jela kwa kosa la kukutwa akimiliki Bastola bila kuwa na kibali #GazetiUHURU #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Mgombea Urais wa CCM Dk. John MAGUFULI amesema neema inakuja, Watz wategemee makubwa akipita Urais #GazetiUHURU #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Mfanyabiashara auawa kwa kupigwa Risasi nje ya duka lake Korogwe Tanga, Wauaji hawakuchukua kitu chochote kutoka kwake #GazetiUHURU AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Kundi la Vijana wahuni wakiwa na mawe, fimbo, wavamia Wanafunzi na Walimu Sekondari Masasi na kuwatembezea kipigo #GazetiUHURU AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Rais MUSEVENI awatwisha mzigo Wananchi wake, amesema suala la kutoka au kubaki Madarakani liko mikononi mwao #GazetiUHURU AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Ali KIBA kuwafunika Wasauzi, apania kufanya makubwa Tamasha la ‘Party in The Park’ Dar #GazetiUHURUMichezo AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Klabu ya Simba imesema itamshughulikia Mchezaji Elius MAGURI, yadai amekiuka utaratibu kuongea na Vyombo vya Habari #GazetiUHURUMichezo — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

YANGA na AZAM zamchefua Kocha MKWASA kwa kuwazuia Wachezaji wao wasijiunge na Kikosi cha Timu ya Taifa #GazetiUHURUMichezo #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

LOWASSA ni tishio, siku moja baada ya kusema Rais JK ameharibu uchumi wa TZ, yadaiwa kuandaliwa tuhuma mpya za kumchafua #TzDAIMA #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Goli la mkono lavuruga CCM, Majimbo matano kurudia Kura za Maoni, Mawaziri walioanguka waandaliwa Mbeleko #TzDAIMA #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Rais JK ateua Balozi mmoja, kawabadilishia Vituo vya kazi wawili na kumteua Mkurugenzi mpya Shirika la Viwango TBS #TzDAIMA #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

MBATIA ammaliza MREMA Vunjo, siku 10 kabla ya kuanza Kampeni Madiwani wa TLP watimkia NCCR- Mageuzi #TzDAIMA #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

CCM yahaha kuwaokoa Mawaziri waliobagwa Kura za Maoni,imefuta matokeo na kutangaza Uchaguzi Majimbo matano #MTANZANIA>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

CCM Handeni watishia kutomnadi Mgombea aliyeshinda Ubunge, wadai Ushindi wake ulitokana na Uchakachuaji #MTANZANIA >>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Baada ya jopo la madaktari 8 kumfanyia uchunguzi MBOWE wamesema hali yake imesababishwa na kufanya kazi muda mrefu bila kupumzika #MWANANCHI — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

CCM,UKAWA wageuka gumzo kila kona ya nchi,mazungumzo ya watu yatawala sehemu mbalimbali kuhusu vyama hivyo kuelekea uchaguzi mkuu #MWANANCHI — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

CCM imetengua matokeo ya kura za maoni na kuamuru kurudiwa kwa uchaguzi katika majimbo matano baada ya kukiuka kanuni #MWANANCHI #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Madereva watoa sharti la mwisho kwa Serikali kushughulikia madai yao, wakishindwa watatoa tamko la mgomo #MTANZANIA >>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Hofu ya EBOLA yatanda Kigoma,mtu mmoja toka Burundi amefariki akiwa na dalili za Ugonjwa huo #MTANZANIA AUGUST12>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Dk.SLAA aikana akaunti ya Twitter inayomzushia kujitenga na shughuli za siasa UKAWA, amesema hajawahi kuwa na akaunti hiyo #MWANANCHI AUGUST — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Sophia SIMBA amesema waliompakazia kuhama CCM wana chuki nae, amesema Wanawake ni Jeshi kubwa la Ushindi #MTANZANIA >>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Waziri wa mambo ya ndani CHIKAWE amesema amefurahishwa na amani iliyotawala wakati watu wakimsindikiza LOWASSA kuchukua fomu NEC #MWANANCHI — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Timu ya Stand UNITED yatengwa ktk Mashindano Maalum ya Kanda ya Ziwa, yadaiwa kukiuka Masharti #MTANZANIA #AUGUST12 >>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Mfuko wa barabara umekusanya trilioni 2.931 kwa kutoza ushuru wa petrol, magari ya kigeni na yale yanayozidisha mizigo #MWANANCHI #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Bondia Amir KHAN ameamua kuomba Pambano na Manny PACQUIAO mwanzoni mwa 2016 #MTANZANIAMichezo #AUGUST12 >>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Tanzania inaongoza kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi A.Mashariki na kati baada ya kuanzisha mradi kudhibiti uharibifu misitu #MWANANCHI — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Aliyejiita Mungu afariki akiwa na wake 35 na watoto 95,Ni raia wa Kenya amejiita hivyo kwa miaka 40 na kwamba Yesu ni mwanaye #MWANANCHI — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Uchaguzi waathiri mbio za Mwenge Geita, yadaiwa watu wengi wameelekeza mawazo kwenye mambo ya kisiasa badala ya Kitaifa #MWANANCHI #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Baba atuhumiwa kumuua mtoto wake wa kiume Geita kisa kamuomba auze sehemu ya ardhi yake ili apate fedha za kutoa mahari #MWANANCHI #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Man City yaanza kwa ushindi mnono baada ya kuichakaza West Brom mabao 3-0,jumla ya mabao 30 yafungwa mechi za ufunguzi EPL #MWANANCHI AUGUST — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Wakimbizi wa Burundi kutokana na machafuko wafikia 84,000 ktk Kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu Kigoma #NIPASHE >>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

M’kiti Tume ya Uchaguzi Jaji LUBUVA amesema watakuwa na Vikao vingi na Vyombo vya Dola kujadili Usalama Uchaguzi Mkuu Oktoba 2015 #NIPASHE — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Bilioni 1.5 zatumika kufanya usajili kwa wachezaji wa ligi kuu Tz bara, Yanga yaongoza kwa kutumia 53% ya fedha zote #MWANANCHI #AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Freeman MBOWE amesema kwa sasa yuko fiti, Daktari wake amesema alikuwa akisumbuliwa na Uchovu #NIPASHE #AUGUST12 ><>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Rais JK anatarajiwa kuwaaga wakuu wa nchi za Jumuiya ya SADC Agosti 18 Jo’burg Afrika KUSINI #NIPASHE #AUGUST12 >>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Vijana wenye umri wa miaka 15-29 wanapoteza maisha kila siku duniani kutokana na ajali za pikipiki na magari pamoja na watoto 500 #JamboLEO — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Shule ya Msingi iliyoko KAHAMA iko kwenye hatihati ya kufungwa kutokana na kutokuwa na choo #NIPASHE #AUGUST12 >>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Jeshi la Polisi Geita linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za kumuua mkewe kwa kumchapa bakora #NIPASHE #AUGUST12>>http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Panya Road wavamia nyumba na maduka ya wananchi wa Kijichi Dar, wawalazimisha kutoa fedha na simu #MWANANCHI AUGUST> http://t.co/JtLmUhdUJb — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Chama cha madereva nchini kimemwomba JK kuingilia kati na kuwatetea masilahi yao kama anavyofanya kwa wanamuziki nchini #HabariaLEO AUGUST12 — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Kim Kardashian afikisha followers milioni 42 Instagram, asherehekea idadi hiyo ya watu huku akipongezwa na marafiki zake #ChampioniMICHEZO — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Mkwasa akerwa na kitendo cha klabu za Yanga na Azam kugoma kuwaachia wachezaji wao wajiunge na timu ya Taifa inayojiandaa na AFCON #CHAMPION — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

Uongozi kituo cha daladala cha Simu 2000 wamewatisha wafanyabiashara wadogo ndani ya eneo hilo kuwa watawanyang’anya maeneo yao #HabariLEO — millard ayo (@millardayo) August 12, 2015

PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo, maisha, Breaking news na nyingine kwa kujiunga hapa na mimi >>> Twitter Insta FB na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa >>>Videos

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 2, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 1, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo February 1, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo January 31, 2023

Millard Ayo August 12, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hofu ya EBOLA Kigoma.. mengine Kura za Maoni CCM? Waziri Chikawe na msafara wa Lowassa? (Stori +Audio)
Next Article Inawezekana Davido katishiwa maisha na kuamua kujifunza kujilinda kwa bastola?… (Pichaz + Video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?