Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mambo 8 TWAWEZA wameyataja kuhusu upungufu wa chakula Tanzania
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
September 22, 2023
Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Mambo 8 TWAWEZA wameyataja kuhusu upungufu wa chakula Tanzania
Mix

Mambo 8 TWAWEZA wameyataja kuhusu upungufu wa chakula Tanzania

March 1, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Miezi kadhaa iliyopita kumekuwepo na mijadala mizito ya kisiasa na kitaifa juu ya upungufu wa chakula Tanzania. Taaarifa za upungufu wa chakula mwanzoni zilikataliwa na viongozi wa juu wa serikali lakini baadae walikiri kuwepo kwa tatizo hilo nchini.

Mwishoni mwa mwezi Januari 2017, Waziri wa Chakula, Mifugo na Uvuvi, Dk. Charles Tizeba aliliambia bunge kwamba utafiti uliofanywa na Wizara kwa kushirikiana na wadau kadhaa, umegundua kwamba Wilaya 55 (kati 169 za Tanzania Bara na Visiwani) zilikumbwa na njaa.

Taarifa yake ilieleza kuwa tani 35,491 za nafaka zinahitajika kusambazwa kati ya mwezi wa pili na wa nne mwaka 2017 ili kukabiliana na upungufu huo uliowakumba watu 1,186,028”2 katika Wilaya hizo.

Leo March 1, 2017 Ripoti mpya ya taasisi ya utafiti ya Twaweza imetoa matokeo ya utafiti wake uliofanywa nchini ili kubaini ukweli wa suala la upungufu wa chakula.

Nimekuwekea hapa mambo nane yaliyobainika kwenye utafiti wa TWAWEZA.

Kaya nane kati ya kumi zimeripoti kwamba kipato chao hakikidhi mahitaji yao ya kila siku. #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/H9HLFUWcyU

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Wananchi 9 kati ya 10 wanaona ni jukumu lao kuhakikisha wana fedha za kutosha ili kukidhi mahitaji ya kaya zao #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/2NnDNiytdz

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Kpindi cha mwaka mmoja uliopita kaya moja kati ya 8 imepokea fao, faida au pesa kutoka ktk miradi ya serikali #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/YA4WqF4tlQ

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Kaya 8 kati ya 10 (79%) zimeripoti kwamba zinahifadhi chakula kwa ajili ya dharura au kuepukana na njaa. #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/10LdXqHMrG

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Kati ya waliohojiwa, 'Sauti za Wananchi' (78%) wanaripoti upungufu wa chakula katika maeneo wanayoishi #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/7ZhH6MyI0j

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Kwa mujibu wa Benki Kuu mahindi yalipanda kutoka Tsh 400 Kilo 1 Jan 2015 hadi Tsh 852 kwa kilo kufika Dec 2016 #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/oKJyMOE5um

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

Katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita, kaya saba kati ya kumi zimepata hofu ya kupungukiwa na chakula #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/0jLhW6gWr4

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

September 2016, 45% waliripoti hofu ya kupungukiwa chakula, February 2017, idadi iliongezeka kufikia 65% #UpungufuChakula #Twaweza2017 pic.twitter.com/YoGdQd05aE

— millardayo (@millardayo) March 1, 2017

VIDEO: Ulipitwa na kilichoandikwa kwenye Magazeti ya Tanzania leo March 1, 2017, Bonyeza play hapa chini kujua kila kitu

You Might Also Like

Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto

Joe Biden atuma salamu za pole kwa Mfalme wa Morocco

Rais Samia azindua ujenzi wa soko la Kizimkazi

EWURA yaridhishwa na kazi ya utengenezaji matela ya kusafirishia mabomba ya EACOP

NIC washinda tuzo 7 ndani ya mwaka 2023

TAGGED: Mix, Tanzania, Twaweza
Admin March 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Jamaa yuko chakari alafu akahojiwa kuhusu viroba kupigwa marufuku
Next Article VIDEO: Polisi Dodoma limewakamata na kuwataja watuhumiwa wa dawa za kulevya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu ashtukia mchezo mchafu Kigoma, ‘zinapotea kinyemela, naleta timu’
Top Stories September 22, 2023
Waziri wa Michezo, Dkt Damas Ndumbaro ajiuzulu nafasi hii kwenye uongozi wa TFF
Top Stories September 22, 2023
GSM Home wamekuletea ‘Gulio la Kibabe’, haijawahi tokea wahi sasa, Ommy Dimpoz afunguka
Top Stories September 22, 2023
Arsenal haihitaji motisha ya ziada dhidi ya Spurs- Arteta
Sports September 22, 2023

You Might also Like

Sports

Derby ya London Kaskazini huko Arsenal ni ‘changamoto kubwa’ – Postecoglou

September 22, 2023
Sports

Xavi kuongeza mkataba wa Barcelona hadi 2025

September 22, 2023
Top Stories

Kuelekea fainali ya polisi jamii DPA cup mashabiki wajigamba afisa michezo atoa neno

September 22, 2023
Top Stories

UN yaitaka Iran kuachana na sheria mpya kuhusu hijab

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?