Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Hatuombi watu kuacha uhalifu, tunawaambia tutapambana nao” – Mwigulu
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > “Hatuombi watu kuacha uhalifu, tunawaambia tutapambana nao” – Mwigulu
AyoTV

“Hatuombi watu kuacha uhalifu, tunawaambia tutapambana nao” – Mwigulu

July 25, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Usalama wa Kibiti ambako kumekuwa kukiripotiwa mauaji ya viongozi wa vyama na serikali na raia imeelezwa kuwa ni salama tofauti na kipindi cha nyuma ingawa bado Jeshi la Polisi litaendelea kuhakikisha kila anayejihusisha na uhalifu anatiwa katika mikono ya sheria popote alipo.

Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba amesema kuwa tofauti na ilivyokuwa awali ambapo mauaji ya raia yaliripotiwa kila mara lakini sasa hali imekuwa shwari:>>>”Kipindi kilichopita ilikuwa kila baada ya siku mbili unasikia kuna tukio lakini sasa utaona kwamba kwa muda haujasikia matukio ya aina hiyo.

“Sisi kwenye mambo ya uhalifu hatuwaombi watu kuacha. Hatuwabemebelezi watu kuacha uhalifu. Tunawaambia tutapambana na uhalifu na tutapambana na wahalifu mmoja baada ya mwingine. Tutapambana nao na tutahakikisha kwamba tunakomesha uhalifu.” – Waziri Mwigulu Nchemba.

VIDEO: “Usipofanya kazi hautokula na usipokula utakufa, lazima niwaambie ukweli” – RAIS MAGUFULI…full video bonyeza play hapa chini kuitazama!

Kitu Zitto Kabwe ameongea mbele ya Rais Magufuli Kigoma…tazama kwenye video hii chini.

You Might Also Like

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.

Jenerali muhoozi aahidi msaada kwa Marekani kujenga sanamu ya rapa Tupac Shakur.

Bunge la Uganda lapitisha mapendekezo ya kifungo cha miaka 10 kwa wapenzi wa jinsia moja.

UN: Tahadhari juu ya ongezeko la joto Duniani.

TAGGED: Ayo TV, mwigulunchemba, TZA HABARI
Millard Ayo July 25, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwingine apigwa risasi na kuuawa Mbeya, Magazeti ya Tanzania leo July 25, 2017
Next Article Staa gani wa Bongofleva kapata mtoto wa kike leo?
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?