Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ni kweli Watanzania 50 walinyongwa China 2013? wanaoshikiliwa je? …..jibu liko hapa
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Ni kweli Watanzania 50 walinyongwa China 2013? wanaoshikiliwa je? …..jibu liko hapa
Mix

Ni kweli Watanzania 50 walinyongwa China 2013? wanaoshikiliwa je? …..jibu liko hapa

January 11, 2014
Share
1 Min Read
SHARE

p1
Ni taarifa nyingi ambazo zimekua zikipokelewa na Watanzania kupitia Magazeti, mitandao na hata redio wakati mwingine ambapo moja ya stori ambazo siwezi kuzisahau kwa 2013 ni ile ya Watanzania hamsini kudaiwa kunyongwa kwenye magereza mbalimbali ya China kutokana na kukamatwa na dawa za kulevya.

Hili ni swali langu la kwanza kwa balozi wa Tanzania huko China ambae amenijibu hivi >>> ‘hakua kitu cha namna hiyo, toka nimeanza kufanya kazi ya ubalozi hapa China sijawahi kuona au kusikia taarifa za kunyongwa kwa Mtanzania’

Balozi ameiambia millardayo.com kwamba Watanzania wanaoshikiliwa kwenye magereza mbalimbali hawazidi mia mbili ila wanazidi mia moja na kusisitiza kwamba Ubalozi una majina yao na tayari wameshawatembelea, uko utaratibu wa Magereza wenyewe kupeleka kwa Ubalozi taarifa za kila Mtanzania wanaemshikilia.

.
.

Anasisitiza kwamba Watanzania hawa hupewa nafasi ya kuongea na ndugu zao nyumbani Tanzania, vitendo vya watu kukamatwa kwa makosa mbalimbali na kusema wao ni raia wa Tanzania vimekua vikitokea ambapo Ubalozi umekua ukienda ili kuwatambua lakini wanagundua baadae kuwa sio Watanzania, walisingizia tu.

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Millard Ayo January 11, 2014
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mvua za Dodoma hazijazuia tu Treni kwenda, jingine ni hili
Next Article Picha za Baba mzazi wa Joh Makini na Nikki wa II na biashara anayofanya.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?