Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ya kufahamu baada ya mkutano na Benki ya Dunia Ikulu kuhusu Fly Over Ubungo
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Ya kufahamu baada ya mkutano na Benki ya Dunia Ikulu kuhusu Fly Over Ubungo
Mix

Ya kufahamu baada ya mkutano na Benki ya Dunia Ikulu kuhusu Fly Over Ubungo

January 26, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Waziri wa Fedha Tanzania Dr. Philiph Mpango amewaeleza Watanzania kila kilichosemwa kwenye mazungumzo IKULU na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia ambaye ameitembelea Tanzania ambapo moja ya vilivyojadiliwa ni Fly Over ya Ubungo ambayo itasaidia sana kuondoa foleni sugu.

  1. Kulikua na mazungumzo rasmi yaliyofanyika IKULU na kubwa la kwanza ilikua ni kuihakikishia benki ya Dunia kwamba kwa kweli ni wabia wetu wazuri wa maendeleo na Rais amesisitiza kwa upande wa serikali tutaendelea kufanya kazi kwa ukaribu na benki ya dunia.
  2. Eneo moja ambalo Rais ameiomba Benki ya dunia itusaidie kuharakisha kuanza utekelezaji ni pale Ubungo kwenye makutano ya zile barabara.
  3. Huu mradi wa Mabasi yaendayo kazi hautakuwa na ufanisi kama bado pale Ubungo utategemea Askari wa barabarani kuongoza magari kwahiyo Rais Magufuli amesisitiza zaidi.
  4. Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia amekubali kwamba wataharakisha ule mchakato ili ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya barabara Ubungo uanze.
  5. Kuhusu gharama za ujenzi wa Fly Over Ubungo hatuna namba kamili kwa sasa kwasababu bado tunakamilisha majadiliano lakini kwa takwimu za awali haitapungua Dola za Kimarekani MILIONI 60.

ULIPITWA? Tazama hapa chini ulipofikia ujenzi wa jengo jipya la kisasa ( Terminal 3 ) Aiport Dar es salaam

You Might Also Like

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

List ya Wasanii wakubwa watakaoimba Tamasha la Pasaka 2023

TCDC na Makakati kukuza biashara kidijitali

TAGGED: Dar es salaam NEWS
Millard Ayo January 26, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya Tanzania January 26, 2017 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo
Next Article Trafiki Dar es salaam aagizwa na Boss wake kulipa faini aliyomtoza mwenye Benz
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?