Neema Kibwana ni Mjumbe wa Serikali ya Mtaa Manzese Tiptop ambapo ameelezea tukio la ubakaji lililotokea mtaani kwake la Mtu anayedaiwa Tola (35-40) kumbaka mtoto mdogo.
UBAKAJI MANZESE: Mjumbe aongea madai ya Tola kumbaka mtoto hadi kuzimia (+video)
Leave a comment
Leave a comment