Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maandalizi nje mpaka ndani ya Uwanja wa Uhuru Dar atakapoapishwa Dk. Magufuli.. +Pichaz 11
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Maandalizi nje mpaka ndani ya Uwanja wa Uhuru Dar atakapoapishwa Dk. Magufuli.. +Pichaz 11
MixTop Stories

Maandalizi nje mpaka ndani ya Uwanja wa Uhuru Dar atakapoapishwa Dk. Magufuli.. +Pichaz 11

November 4, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

Historia ya siasa Tanzania kwenye headlines za Uchaguzi Mkuu 2015 ilikuwa ni lazima ikamilishwe kwa matukio kadhaa, kati ya hayo liko tukio la kupatikana Wagombea viti vya Udiwani, Ubunge na pia kupatikana kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Screen Shot 2015-11-04 at 2.11.57 PM

November 05 2015 itakuwa siku nyingine kubwa, anaapishwa Rais wa Tanzania ambaye ataingia kushika nafasi ya Rais Jakaya Kikwete.

Shughuli yote itakuwa Live Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, maandalizi ya shughuli yenyewe je?

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.13 PM

Ripota wa millardayo.com ameingia ndani ya Uwanja wa Uhuru, Temeke Dar es Salaam na yuko tayari kukusogezea kinachoonekana nje mpaka ndani, kona mpaka kona ya Uwanja huo inavyoonekana saa chache kabla ya kushuhudia tukio lenyewe.

 

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.43 PM
.
Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.05 PM
Katikati ya Uwanja kuna jukwaa lenye red carpet ambapo Rais mteule ataapishwa.

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.30 PM

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.51 PM
Kwenye fensi ya Uwanja zinaonekana bendera za TZ zikiwa zinapepea.

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.59 PM

Screen Shot 2015-11-04 at 2.13.07 PM
Huu ni muonekano wa pembeni ya geti la kuingilia Uwanjani.

Screen Shot 2015-11-04 at 2.13.15 PM

Screen Shot 2015-11-04 at 2.12.36 PM
Hapa ni Jukwaa Kuu, Viongozi wakuu wa TZ pamoja na wageni wengine waalikwa kama Mabalozi, Marais wa nchi nyingine walioalikwa na wengineo watakaa kushuhudia tukio zima la kuapishwa Dk. John Magufuli.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTERFB YOUTUBE.

You Might Also Like

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

TAGGED: Dk. Magufuli, uchaguzi 2015
Millard Ayo November 4, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ripoti nyingine ya ajali ya ndege iliyonifikia kutoka Sudan…
Next Article Peter Okoye wa P Square aweka wino wa kuwa balozi wa kampuni nyingine kubwa duniani!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?