Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Uko kwenye gari na mtoto wako alafu unavuta Sigara, Uingereza hawakuachii hata kidogo..!!
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > Uko kwenye gari na mtoto wako alafu unavuta Sigara, Uingereza hawakuachii hata kidogo..!!
DunianiStori Pekee

Uko kwenye gari na mtoto wako alafu unavuta Sigara, Uingereza hawakuachii hata kidogo..!!

October 1, 2015
Share
2 Min Read
SHARE

May 24 2015 Tanzania iliungana na Nchi nyingine kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu Duniani, kwenye Ripoti za utafiti inaonesha Sigara ni moja ya vitu vinavyochangia tatizo la ugonjwa huo !!

Kwenye Majibu ya Utafiti pia kuna kitu kimegusiwa kwamba wapo wanaopata matatizo ya Ugonjwa wa TB kwa kupatwa na moshi wa Sigara ambayo imevutwa na mtu mwingine… Kuna nchi ambazo tayari walipiga MARUFUKU uvutaji wa Sigara hadharani, kwenye nchi hizo Uingereza na Russia nazo zipo.

sigara3

Ripoti nyingine ni hii toka Uingereza pia… Mara ya kwanza ilikuwa ukikamatwa unavuta Sigara hadharani ni faini au jela au vyote viwili, ikufikie na hii kwamba usidhani ukikamatwa na Sigara yako ndani ya gari alafu umepakia na mtoto wako Sheria itakuacha !!

Sheria hii mpya ina mpango wa kulinda watoto walio chini ya miaka 18, hatari yake ni kwamba moja ya maradhi ambayo anaweza kupata mtoto anayevuta hewa yenye moshi wa Sigara, ni kuugua ugonjwa  wa kansa… Sheria mpya imeruhusu kwa yeyote atakayekamatwa ni faini Pound 50 ambazo ni kama Tshs. 160,000/=.

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter,FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Silent Ocean imetupitisha kwenye Masoko ya vifaa mbalimbali Dubai, tazama (video+)

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Madaktari Watanzania wafanya upasuaji wa moyo

Forbes wamtangaza Melinda alieachana na Bill Gate kuwa Bilionea mpya, ashika namba hii

Wagonjwa 8 wa corona warudishwa Tanzania kutoka Kenya

TAGGED: duniani
Millard Ayo October 1, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Avril on air with Millard Ayo.. ndoa mwakani, kuokoka, Waimbaji wa kizazi kipya
Next Article Rekodi nyingine ya Cristiano Ronaldo hii hapa….
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?