Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ukweli wa Profesa Kabudi:”Maeneo ambayo sitamani kwenda katika Ofisi ni chooni” (+video)
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Stori Kubwa > Ukweli wa Profesa Kabudi:”Maeneo ambayo sitamani kwenda katika Ofisi ni chooni” (+video)
Stori KubwaTop Stories

Ukweli wa Profesa Kabudi:”Maeneo ambayo sitamani kwenda katika Ofisi ni chooni” (+video)

February 6, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Leo Februari 6, 2019 Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amezindua jengo jipya la Mahakama ya Ilala lilipo Kinyerezi, huku akisema miongoni mwa mambo yanayomchukiza ni uchafu wa vyoo.

Akizungumza mbele ya watumishi wa mahakama na Jaji Kiongozi, Profesa Kabudi amesema kuna baadhi ya vitu lazima vizungumzwe kwa ukweli bila kificho hasa suala la utunzaji mazingira.

“Tunaposema miundombinu niwe muwazi tu kwani maeneo katika ofisi zetu nyingi sitamani kwenda ni choo, hivyo lazima tuelezane ukweli kwenye mambo ambayo hatupendi kuelezana,“amesema.

Anayedaiwa kumzushia Magufuli kwenye Facebook arudi tena mahakamani

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: Ayo TV, Top Storie
Mika Ndaba TZA February 6, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Charles Mwijage kafunguka baada ya kutoka nduki Bungeni (+video)
Next Article Onyo la Serikali kwa wanaosambaza picha za watoto wanaodaiwa kuchinjwa Njombe (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?