Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Baada ya Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu nae kapata timu Ulaya
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Baada ya Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu nae kapata timu Ulaya
Sports

Baada ya Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu nae kapata timu Ulaya

January 20, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya kumalizana kimkataba na timu ya TP Mazembe ya Congo DRC mwishoni mwa mwaka 2016 na kutotaka kuongeza mkataba kwa madai ya kuwa anaenda kucheza soka Ulaya, mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania Thomas Ulimwengu amepata timu ya kucheza Sweden na tayari amesaini mkataba wa kuitumikia.

Thomas Ulimwengu amesaini mkataba wa miaka miwili wa kuichezea timu ya inayoshiriki Ligi Kuu Sweden inayoshirikisha timu 16 ambapo kwenye Interview na shaffihdauda.co.tz Ulimwengu amethibitisha dili hilo kukamilika na kwa sasa anasubiri VISA tu.

 “Kweli nimesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo nitajiunga nayo hivi karibuni, kwa sasa nashughulikia mambo ya visa na taratibu nyingine, kuanzia wiki ijayo  nitakuwa nimeshajiunga na timu ya Athletic Football Club Eskilstuna  ya Sweden”
ULIPITWA?: Mtazamo wa Thomas Ulimwengu kuhusu idadi ya wachezaji wa kigeni katika Ligi ya Tanzania, BONYEZA PLAY HAPA CHINI

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA January 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kachumbari yasababisha Mume kumuua Mke Tanzania
Next Article Waziri wa zamani Tanzania aliyealikwa kuhudhuria kuapishwa kwa Donald Trump
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?