Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Hadi sasa Tanzania tunanunua umeme toka Uganda, Zambia na Kenya’ – Prof. Muhongo
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > ‘Hadi sasa Tanzania tunanunua umeme toka Uganda, Zambia na Kenya’ – Prof. Muhongo
Mix

‘Hadi sasa Tanzania tunanunua umeme toka Uganda, Zambia na Kenya’ – Prof. Muhongo

January 21, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ni waziri wa nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo akiongelea yaliyozungumzwa kwenye kikao cha ushirikiano wa nchi za Afrika Mashariki ambao lengo lake ni kusaidia nchi hizi kupata umeme mwingi wa uhakika na wa bei nafuu.

‘Sasa ili tuyapate hayo matatu tunalazimika kuwa kama nchi nyingine duniani ambazo zinauziana umeme, ndugu zangu Watanzania hadi sasa hata sisi Tanzania tunanunua umeme kutoka Uganda karibu megawati 17, kutoka Zambia Megawati 4 na Kenya tunanunua megawati 1‘ – Profesa Muhongo

‘Huko tunakokwenda Afrika Mashariki ijayo na Afrika kwa ujumla tumeamua kujenga miundombinu ya kusafirisha umeme mwingi kutoka nchi moja kwenda nchi nyingine, sasa hivi kama mnafatilia tumeanza kujenga njia ya kusafirisha umeme kutoka Singida kwenda Kenya ya Kilovoti 400‘ – Prof. Muhongo

‘Makusudio ya kujenga njia hizi ya kusafirisha umeme mwingi ni kwamba muda umefika nchi za kiafrika tuuziane umeme, badala ya kununua umeme wa bei mbaya wa mafuta hapa Tanzania… huo umeme tunaweza tukaununua Uganda au Ethiopia, kikao chetu hiki kilikua kinajadili miradi ambayo tulikua tunapaswa kuitekeleza‘ – Profesa Muhongo

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo January 21, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Mchekeshaji wa Kenya kuhusu Confidence ya Watumiaji wa vyoo na Wasomi bungeni
Next Article Mtanzania Benjamin aelezea alivyopata nafasi ya kufanya kazi kwa Tajiri wa dunia Bill Gates
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?