Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: UNAAMBIWA: TV zinawapunguza watoto kitaaluma
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > UNAAMBIWA: TV zinawapunguza watoto kitaaluma
Top Stories

UNAAMBIWA: TV zinawapunguza watoto kitaaluma

February 3, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Tafiti zinaonesha kitendo cha kuwaruhusu Watoto wenye umri mdogo kutumia computer na kutazama TV kwa muda mrefu kunaweza kupunguza mafanikio yao ya kitaaluma na uwezo wa kihisia ifikapo miaka ya baadaye, kulingana na utafiti mpya.

Watafiti wamegundua kuwa kuongezeka kwa muda ambao unatumika na Watoto wenye umri mdogo kwenye vifaa kama simu, vishkwambi na computer kunahusishwa na utendaji duni pindi Mtoto anapofikisha umri wa miaka 9, kulingana na utafiti uliochapishwa mapema wiki hii katika jarida la JAMA Pediatrics kutokea nchini Marekani.

Uwezo wa utendaji kazi wa Mtoto ni michakato ya kiakili ambayo humuwezesha kupanga, kuzingatia uangalifu, kukumbuka maagizo yaliyotolewa na kushughulikia kazi nyingi kwa mafanikio kwa mujibu wa Kituo cha Chuo Kikuu cha Harvard.

Dk. Erika Chiappini, Profesa Msaidizi wa Sayansi ya Akili Chuo Kikuu cha Johns Hopkins Jijini Baltimore nchini Marekani anasema utendaji kazi ni muhimu kwa ukuaji wa Mtoto kwa kiwango cha juu kama vile kwenye udhibiti wa kihisia, uwezo wake wa kujifunza, mafanikio ya kitaaluma atakapo kuwa masomoni pamoja na afya ya akili.

Matokeo hayo yanaunga mkono mapendekezo kutokea Chuo cha Marekani cha Madaktari wa Watoto, ambacho hupinga ongezeko la muda wa kutumia skrini kabla ya umri wa miezi 18, isipokuwa kwenye video calls.

You Might Also Like

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 3, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Huyu hapa mbwa aliyevunja rekodi ya Guinness ya umri
Next Article Nape mgeni rasmi Kongamano la bidhaa za Teknolojia za wanawake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?