Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: UNECA: Uchumi wa Afrika kukua kwa asilimia 3.9 mwaka huu.
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > UNECA: Uchumi wa Afrika kukua kwa asilimia 3.9 mwaka huu.
Top Stories

UNECA: Uchumi wa Afrika kukua kwa asilimia 3.9 mwaka huu.

March 17, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Kamati ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA), imesema uchumi wa Afrika kwa mwaka huu unatarajiwa kukua kwa asilimia 3.9, ikilinganishwa na asilimia 3.6 za mwaka jana.

Akiwasilisha ripoti kuhusu maendeleo ya kiuchumi na kijamii barani Afrika kwenye kikao cha 55 cha kamati hiyo, Mkurugenzi wa Idara ya Uchumi na Utawala Bora wa UNECA Bw. Adam Elhiraika, amesema ukuaji wa pato la jumla la bara la Afrika ulipungua kutoka asilimia 4.6 za mwaka 2021 hadi asilimia 3.6 mwaka 2022, lakini ukuaji huo unatarajiwa kurudi hadi asilimia 3.9 kwa mwaka huu.

Kudorora kwa uchumi wa dunia, kupanda kwa bei kunakochochewa na mgogoro wa Ukraine, mabadiliko ya tabia nchi na kuzorota kwa hali ya kimataifa ya kiuchumi na kifedha kumeathiri kwa kiasi kikubwa ukuaji wa uchumi wa Afrika kwa mwaka jana.

Asilimia 3.9 inayotarajiwa ukuaji wa uchumi wa Afrika katika mwaka huu wa fedha unachangiwa zaidi na ukuaji katika kanda ndogo za Afrika mashariki, kaskazini na magharibi mwa bara hilo, alisema mkurugenzi huyo.

Elhiraika alisema mfumuko wa bei unatarajiwa kupungua mwaka huu huku mataifa ya bara hili yakitarajiwa kukaza sera zao za fedha ili kuhimili shinikizo la mfumuko wa bei.

Kupanda kwa gharama za kukopa na mzigo wa kulipa madeni kunaleta changamoto kubwa mbeleni, alisema Elhiraika, akionyesha kuwa uwiano wa deni kwa Pato la Taifa unakadiriwa kufikia asilimia 61.9 mwaka 2023.

Mfumuko wa bei katika bara zima unakadiriwa kupungua hadi asilimia 12 mwaka 2023 kutoka asilimia 12.8 mwaka 2022, alibainisha.

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Editor 2 March 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa
Next Article Rapa Snoop Dogg azindua lebo yake mpya ya kahawa “INDOxyz”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?