Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Upelelezi kesi ya Boss Cambiaso wakamilika
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Upelelezi kesi ya Boss Cambiaso wakamilika
Top Stories

Upelelezi kesi ya Boss Cambiaso wakamilika

January 2, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Upelelezi wa kesi ya usafirishaji wa dawa za kulevya Kilogramu 34.89 aina ya Heroin, inayomkabili aliyekuwa Kocha wa Makipa wa klabu ya Simba, Muharami Sultan na wenzake umekamilika.

Wakili wa Serikali, Carolina Matemu amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Mary Mario kwamba tayari upelelezi wa shauri umekamilika, wamepeleka taarifa Mahakama Kuu hivyo wanasubiri irudi ili waweze kuwasomea maelezo ya mashahidi washitakiwa hao.

Kutokana na hali hiyo, aliiambia mahakama kwamba ipange tarehe nyingine ya kutajwa kesi hiyo.

Hakimu amekubaliana na ombi hilo na kuahirisha kesi hiyo hadi Januari 16, 2023.

Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sports Academy kilichopo Tuangoma Kigamboni , kinachojihusisha na ukuzaji wa vipaji kimichezo Kambi Seif.

Wengine ni Maulid Zungu, maarufu kama Mbonde, Said Abeid fundi selemala, John Andrew maarufu kama Chipanda mfanyakazi wa kituo cha Cambiasso na Sara Joseph.

Katika kesi hiyo, washitakiwa hao wanadaiwa kuwa Oktoba 27 mwaka huu, Kivule , Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, walikutwa wakisafirisha dawa za kulevya aina ya heroin kilogramu 27.10.

Katika shitaka la pili ilidaiwa kwamba, Novemba 4 mwaka huu eneo la Kamegele Mkuranga, Pwani kwa pamoja walikutwa wakisafirisha kilogramu 7.79 za dawa za kulevya aina ya Heroin.

INASIKITISHA BABA, MAMA, WATOTO 4 WAFARIKI AJALINI, GARI YAO NYANG’ANYANG’A

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Baba, Mama, Watoto 4 wafariki ajalini, gari yao nyang’anyang’a (+video)
Next Article Helikopta zagongana angani watu wanne wafariki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?