Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Waziri wa zamani Tanzania aliyealikwa kuhudhuria kuapishwa kwa Donald Trump
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Waziri wa zamani Tanzania aliyealikwa kuhudhuria kuapishwa kwa Donald Trump
Mix

Waziri wa zamani Tanzania aliyealikwa kuhudhuria kuapishwa kwa Donald Trump

January 20, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Rais mteule wa Marekani Donald Trump mwenye umri wa miaka 70, anaapishwa saa chache zijazo Washington DC. Marekani kuwa Rais wa 45 wa Marekani akichukua kiti kinachoachwa na Barack Obama

Miongoni mwa wataohudhuria kuapishwa huko ni pamoja na Waziri wa zamani wa maliasili na utalii Tanzania Lazaro Nyalandu ambaye tayari ameshawasili Washington DC saa kadhaa zilizopita.

Nyalandu ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Singida Kaskazini ameiambia millardayo.com na AyoTV >>>> ‘Nimewasili Washington DC mapema leo na kushiriki mwaliko wa Maseneta Chuck Grassley na Joni Ernst wakiwa na wajumbe wa Baraza la wawakilishi toka Jimbo la Iowa, wakiongozwa na Steve King‘

‘Jimbo la Iowa ni mahali nilisoma chuo miaka ya nyuma, tukio la mchana huu limefanyika hapa US Capitol Hill, asubuhi kesho nitashiriki hafla ya kuapishwa Donald J Trump kwa mwaliko wa kamati ya maandalizi ya Baraza la Congress na nitatarajia kurudi nyumbani kuendelea na vikao vya Bunge’ – Nyalandu

Lazaro Nyalandu akiwa ameshawasili Washington DC tayari

ULIPITWA? Show ya Mtanzania Diamond Platnumz iliyovunja rekodi Marekani? bonyeza play hapa chini kuitazama

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo January 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Baada ya Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu nae kapata timu Ulaya
Next Article Maneno ya Fid Q baada ya kusikia Nay wa Mitego amesema hastahili kufananishwa nae
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?