Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Usajili vitambulisho vya NIDA kufanyika online
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Usajili vitambulisho vya NIDA kufanyika online
Top Stories

Usajili vitambulisho vya NIDA kufanyika online

December 22, 2022
Share
2 Min Read
SHARE
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetambulisha Mfumo wa Usajili wa Watu kwa njia ya mtandao utakaowezesha wananchi wenye sifa za kuomba Vitambulisho vya Taifa kwa kujaza fomu mtandaoni mahali popote bila kulazimika kufika katika Ofisi za NIDA.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Desemba 21, 2022 Jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano (NIDA) Bw.Geofrey Tengeneza amesema ili kujisajili mwombaji ataandika eonline.nida.go.tz katika mtandao wa internet na kufuata maelekezo.

“Mfumo huu unalenga kupunguza usumbufu kwa waombaji wa Vitambulisho vya Taifa ambao kwa sasa wanalazimika kufika ofisi za NIDA kuchukua fomu za maombi ya Vitambulisho vya Taifa kwani kupitia mfumo huu ujazaji wa fomu na kuweka viambatisho utafanyika mahali popote kwa kutumia kifaa chenye uwezo wa kupokea mtandao wa mawasiliano”. Amesema Bw.Tengeneza.

Amesema baadda ya kujaza fomu, mwombaji atatakiwa kuchapa fomu (print)na kuipeleka fomu yake ofisi za NIDA iliyoko katika Wilaya anayoishi akiwa na nakala ngumu za viambatisho alivyopakia katika mfumo ili kukamilisha utaratibu wa usajili kama vile kuhojiwa na Uhamiaji, kupigwa picha na kuchukuliwa alama za vidole.

Aidha amesema kuwa mfumo huo utapunguza muda unaotumika katika kusajili taarifa za mwombaji kwa kuwa usajili wa taarifa za mwombaji utakuwa umefanywa na mwombaji mwenyewe.

“Pamoja na kurahisisha huduma ya usajili kwa raia na wageni wakaazi, utapunguza pia gharama zinazotumika katika kuchapisha fomu za usajili na gharama za uchakataji wa taarifa”. Amesema.

Hata hivyo amesema kuwa usajili kwa njia ya mtandao utaongeza idadi ya watu wanaojisajili kwa kuwa huduma hiyo itapatikana mahali popote badala ya kufika katika ofisi ya NIDA kufuata huduma hiyo.

Kwa upande wake Meneja Usajili na Utambuzi (NIDA), Bi.Julien Mafuru amesema kumekuwa na malalamiko ya kukosewa kwa taarifa za uombaji vitambulisho hivyo kupitia mfumo huu utasaidia kupunguza kero hiyo kwani mwombaji atajaza taarifa zake mwenyewe.

Amesema wanaenda kupanua wigo wa kuwaandikisha watanzania ambao watakuwa nje ya nchi kwahiyo na wenyewe watapata faida ya kujaza foma moja kwa moja kwenye mtandao.

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA December 22, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 22, 2022
Next Article Kuunganishiwa maji ndani ya siku saba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?