Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ushuru wa Maegesho, Wakurugenzi watakiwa kuwa Wabunifu
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Ushuru wa Maegesho, Wakurugenzi watakiwa kuwa Wabunifu
Top Stories

Ushuru wa Maegesho, Wakurugenzi watakiwa kuwa Wabunifu

June 30, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam Hassan Rugwa ametoa wito kwa Wakurugenzi na Mameya wa Halmashauri za jiji la Dar es Salaam, kuongeza idadi ya huduma za maegesho ya vyombo vya usafiri kwenye hifadhi za barabara, ili kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato kwa serikali za mitaa.

Katibu Rugwa ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam, katika kikao cha makabidhiano ya jukumu la ukusanyaji ushuru wa maegesho ya vyombo vya moto kwenye hifadhi za barabara, kutoka Wakal la wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA) kwenda kwa mamlaka za serikali za mitaa ambapo amewataka kuwa wabunifu katika utoaji huduma hiyo.

Kwa upande wake Meneja wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini Tarura Mkoa wa Dar es Salaam Geofrey Mkinga amesema TARURA imekabidhi jumla maengesho 14,740 pamoja na kanuni za serikali za mitaa katika kuhakikisha zoezi hilo linaendelea vyema, kwakuwa ni moja ya chanzo cha Mapato ya Serikali na kinachochangia ukarabati na ujenzi wa miundombinu ya barabara Vijijini na Mijini ambayo ni jukumu kuu la TARURA.

Aidha Mkinga amesema katika shughuli za ukusanyaji ushuru wa maegesho miongoni mwa changamoto zilizokuwa zinakabili shughuli hizo ni pamoja ni wananchi kutokuwa na uelewa mpana namna mfumo unavyofanya kazi huku nguvu kubwa ikiwa utoaji elimu kwa umma kwa muda wa miezi sita ili kutambua mfumo unavyofanya kazi.

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA June 30, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article LIVE: Mkuu mpya wa Majeshi anaapishwa Ikulu
Next Article Azam FC watambulisha kifaa kipya, Bakhressa asema mtafurahi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?