Leo December 11, 2019 Kamishina Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini ameungana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza katika zoezi la kuachilia wafungwa 79 kutoka Gereza la Butimba waliosamehewa na Rais John Magufuli na kuwataka kuwa mabalozi ili jamii ibadilike.
Wafungwa 77 waachiwa Butimba “Nilikuwa sijui kitu sasa ni fundi ujenzi” (+video)
Leave a comment
Leave a comment