Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: UPDATES: ACT Wazalendo wagoma kupekuliwa, Polisi wamfuata Katibu Mkuu nyumbani
Share
Notification Show More
Latest News
Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
September 22, 2023
Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
September 22, 2023
Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani
September 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > UPDATES: ACT Wazalendo wagoma kupekuliwa, Polisi wamfuata Katibu Mkuu nyumbani
Top Stories

UPDATES: ACT Wazalendo wagoma kupekuliwa, Polisi wamfuata Katibu Mkuu nyumbani

November 7, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Polisi wamefika Makao Makuu ya ACT, wamekutana na Katibu wa Uenezi, Itikadi na Mawasiliano ya Umma, Ado Shaibu, ambaye baada ya kuwapokea amewaeleza kuwa mwenye Ofisi ni Katibu Mkuu ambaye hayupo ofisini.

Amewaeleza pia kuwa kama Jeshi la Polisi lilitaka kufanya Upekuzi kwenye Ofisi za ACT Wazalendo, nafasi nzuri kwao ilikuwa ni jana kwa kuwa walimhoji Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo kwa Masaa 7.

Polisi wamesisitiza kufanya upekuzi leo, hivyo wameamua kumfuata Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ndugu Dorothy Semu, nyumbani kwake ili awepo wakati wa upekuzi husika.

Ulipitwa na hii? ZITTO: ‘Sisi sio Mawakala wa Polisi, hawana mamlaka kuhoji Kamati Kuu”

You Might Also Like

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York

Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni

Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba

Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya

Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani

TAGGED: Ayo TV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo November 7, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Polisi wachukua simu ya Zitto Kabwe, wataka kupekuwa Ofisi ya ACT Wazalendo
Next Article Vigogo 6 wa Tanesco wapandisha kizimbaji kwa makosa 202 ya uhujumu uchumi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York
Top Stories September 22, 2023
Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni
Top Stories September 22, 2023
Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba
Top Stories September 22, 2023
Gabon: Jean Ping atangaza kuwa ‘tayari kufanya kazi’ na viongozi wapya
Top Stories September 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Dawa za kulevya zapatikana chini ya mlango wa shule wa chekechea ya New York

September 22, 2023
Top Stories

Mnyarwanda akiri kuua watu 14 baada ya maiti 12 kukutwa zimezikwa jikoni

September 22, 2023
Top Stories

Urusi imepiga marufuku kwa muda uuzaji wa mafuta ili kukabiliana na uhaba

September 22, 2023
Top Stories

Sudan:Burhan aonya vita vya Sudan vinaweza kusambaa hadi kwa majirani

September 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?