Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA & VIDEO: Couple tisa zakushangaza, zilizovunja rekodi duniani.
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Ajali ya Basi yaua watano Singida, Polisi azungumza hali ya Majeruhi
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Duniani > PICHA & VIDEO: Couple tisa zakushangaza, zilizovunja rekodi duniani.
Duniani

PICHA & VIDEO: Couple tisa zakushangaza, zilizovunja rekodi duniani.

May 31, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Ni kazi yangu kukuletea stori mbalimbali ambazo zinatrend duniani mtu wangu na nyingine zitakuwa zakushangaza, mfano ni hii ya Leo August 27 2016 nakusogezea stori ya couple tisa zilizochukua headlines duniani ambazo nisingependa zikupite mtu wangu.

Couple ya kwanza inatokea Afrika nchini Somalia ya Ahmed Mohan Red Dore mwenye miaka 112 mwenye wanawake wake 5 na watoto 13 aliefunga ndoa ya kimila na binti  Safia Abdullah mwenye umri wa miaka 17.

Binti huyo kumfurahia mme wake huyo kwa madai yakuwa alimsubiri kwa mda mrefu mpaka kufikia kumuoa na hapo hapo mzee huyo ambae tayari ana  wajukuu wenye umri sawa na binti huyu.

mzee
Picha mzee huyu mwenye miaka 112 na binti aliemuoa mwenye miaka 17 kama mke wake wa sita.

2. Couple yawaliodumu kwa mda mrefu zaidi ndani ya ndoa zaidi ya miaka 80

a96867_a537_9-longest-married

3. Couple ya wanandoa wadogo zaidi duniani,binti wa miaka 9 kufunga ndoa na mvulana wa miaka 7,watoto hawa walikuwa wagonjwa wa kansa ya damu na walikuwa wakipendana sana ndoto yao ilikuwa wafunge ndoa kwa siku walizobakiza kuishi duniani.

watoto

4. Mwanaume huyu alieamua kufunga ndoa na mchumba ake aliefariki kabla ya wao kuoana.

dead

5. Hii ndio couple ya watu warefu na wakubwa duniani

a96867_a537_8-largest-couple

6. Couple hii ya watu wafupi duniani.

a96867_a537_6-shortest-couple

Nimekusogezea video ya couple zote tisa mtu wangu unaweza kuzitazama hapa chini

HUKUONA VIDEO YA MAMBO YA KUFAHAMU KUTOKA KWA RC MAKONDA KWA WAISLAM DAR? UNAWEZA KUITAZAMA VIDEO HII HAPA CHINI

You Might Also Like

Kutoka Donge Tanga kwa Mzee Majuto hizi hapa PICHA 20

PICHA 23: Kutoka kwenye kilele cha Mbio za Mwenge, Zanzibar

ZANZIBAR! Kilele Mbio za Mwenge itakuwa katika Uwanja huu (+Picha 17)

PICHA 7 za gari iliyozama Ziwa Victoria na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 10

Dar es Salaam na mishemishe zake, JANGWANI palikuwa hivi leo (+Pichaz 5)

TAGGED: habari za dunia, Pichaz
Millard Ayo May 31, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Maamuzi ya BMT kuhusu PST katika mchezo wa ngumi na uchaguzi wa Yanga
Next Article VIDEO: ACT yaviandikia barua vyama vingine kuungana Jumapili Dsm
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
Mix August 18, 2022

You Might also Like

Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

August 17, 2022
Mix

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

August 13, 2022
MixTop Stories

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

August 11, 2022
Mix

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?