Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassa akiwa kwenye mazungumzo ya faragha na Papa Francis leo Februari 12, 2024 walipokutana San Damaso, mjini Vatican.
Video: Rais Samia akutana na Papa Francis mjini Vatican, amkabidhi zawadi hii
Leave a comment
Leave a comment