Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Video: Sababu iliyomuondoa Juma Pondamali Yanga SC ndio hii
Share
Notification Show More
Latest News
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
August 12, 2022
TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”
August 12, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > Video: Sababu iliyomuondoa Juma Pondamali Yanga SC ndio hii
AyoTVSports

Video: Sababu iliyomuondoa Juma Pondamali Yanga SC ndio hii

November 27, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya kuondolewa kwa kocha mkuu wa Yanga SC Mwinyi Zahera na nafasi yake kukaimiwa na Boniface Mkwasa, mchezaji wa zamani na kocha wa magolikipa wa Yanga SC Juma Pondamali ameeleza sababu zake za kuamua kuondoka Yanga SC kabla ya kuanza kwa msimu wa 2019/20.

Pondamali akihojiwa na Clouds FM alieleza kuwa aliamua kuomba kuondoka Yanga kwa sababu tu aliona club hiyo imekusanya na kuchangiwa michango na nchi nzima,  kitu ambacho anadai hajawahi kukiona katika club yoyote, hivyo anaamini presha ingekuwa kubwa kama ilivyo sasa kwani mashabiki wangedai matokeo kila mechi.

VIDEO: Samatta baada ya kupokea comments zinazodai hachezi vizuri Taifa Stars

You Might Also Like

TFF yatoa tamko ishu ya Yanga, Manara aibua lingine, “Uzembe wenu ila mkawa wepesi”

PICHA: Matukio ya Mkutano Mkuu wa CAF uliyofanyika Tanzania

Kauli ya Simba SC baada ya Tundaman kuingia na Jeneza ‘Simba day’ uwanja wa Mkapa

Picha 19: Uzinduzi wa Jezi mpya za Simba SC, Mashabiki wafurika Dukani DSM

Simba wafunga usajili kwa kishindo, washusha mshambuliaji kutoka Ulaya

TAGGED: Ayo TV, AyoTV, Soka bongo
Rama Mwelondo TZA November 27, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Matokeo ya UEFA Champions League Nov 26 na timu zilizofuzu 16 bora
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo November 27, 2019
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
Entertainment August 13, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022
Mix August 13, 2022
Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka
Top Stories August 12, 2022

You Might also Like

Top Stories

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

August 12, 2022
Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?