Muonekano wa eneo la Jangwani Jijini Dar es salaam asubuhi hii baada ya mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo… barabara imefungwa kwa muda kutokana na kutopitika kufuatia uwepo wa maji mengi barabarani.
Video: Tazama maji yafunga Barabara Kigogo Dar, mvua yaharibu miundombinu
Leave a comment
Leave a comment