Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Paul Makonda akiwa kwenye mwendelezo wa ziara yake Kanda ya Ziwa amefika Sengerema ambapo amepanda ndani ya lori na Vijana wengine wakati wa mapokezi yake Sengerema.
Video: Tazama Makonda aingia kwa Lori Sengerema, apewa mapokezi haya kwa Wananchi
Leave a comment
Leave a comment