Ni April 4, 2020 ambapo mchekeshaji Masanja Mkandamizaji alifika katika ofisi za mkuu wa wilaya ya Dodoma DC Katambi kuhoji kuhusu clip iliyokuwa ikisambaa ambayo ilimuonesha akihoji watu na kufanya utani kuhusu janga la Corona Virus (Covid-19).
Video:DC Katambi baada ya kumhoji mchekeshaji Masanja huko Dodoma
Leave a comment
Leave a comment